ICDT yachangia Milioni Kumi Ujenzi wa Shule

Mwenyekiti wa ICDT  ndugu JUMA  MAKONGORO  akiwa ameambatana na Mkurugenzi wa Wilaya ya Bunda  kuwakabidhi fedha  milioni kumi ikiwa ni mchango wa wana ICDT kuwezesha ujenzi wa  Shule ya Sekondari ya Sanzate.Machango huo katika sekta ya elimu unalenga ili kupunguza umbali wa kwenda shule kwa watoto wa eneo ambao  husafiri umbali mrefu kwenda shule za jirani. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya ya Bunda ndugu Changwa Mkwazu  ametoa shukrani lwa ICDT kwa mchango.

Mkurugezi Mtendaji alikabidhi fedha hizo kwa bodi ya shule ili ujenzi huu uanze mara moja, kwa niamba ya Bodi ya Shule ua Sanzate Mwenyekiti ndugu Mkaka Katani alipokea fedha hizo.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Scroll to Top